
Kilimo cha zao la nyanya ,nyanya ni mmea jamii ya tunda,linalolimwa nchini Tanzania na dunianiani kwa ujumla ndani ya nchi yetu nyanya inalimwa katika mikoa ya iringa ,Morogoro, dodoma, Pwani ,njombe ,mbeya ,arusha ,kilimanjaro .n.k. mmea huu husitawi kwa wingi hasa maeneo yenye ukanda wa joto kuliko ukanda wa baridi sana.
Nyanya kama tunda hutumika katika matumizi mbali mbali ikiwemo
1.majumbani km kiungo
2. viwandani kutengenezea chill sauce na tomatoes
3.hoteli...